tanzaniapulse link

Header pulse

 MTAFUTE HAPA NDUGU AU JAMAA MLIOPOTEZANA?

Aika wa Navy Kenzo Mbioni Kupata Mtoto wa Pili [NimasikaForum]



Kipindi cha ujauzito wa mtoto wao wa kwanza

Msanii wa muziki Bongo, Aika ambaye anaunda kundi la Navy Kenzo na mpenzi wake, Nahreel wapo mbioni kupata mtoto wa pili.

Wawili hao ambao wanafanya vizuri na wimbo 'Katika' waliomshirikisha Diamond Platnumz, wameelezea ujio wa mtoto wao huyo ambaye tayari wamempatia jina la Jamaika.

"Zimebaki siku chache JAMAIKA aungane na sisi Inshallah," ameeleza Aika.

Utakumbuka kuwa mtoto wao wa kwanza ambaye ni wa kiume walimpata December 2017 na kumpa jina la Gold.


This post appeared first on Nimasika Forum
 Download
 Play

No comments

Powered by Blogger.