tanzaniapulse link

Header pulse

 MTAFUTE HAPA NDUGU AU JAMAA MLIOPOTEZANA?

MAONESHO YA BIASHARA NA UTALII YAFIKIA TAMATI JIJINI TANGA [MamboPulse]

  Naibu waziri wa mawasiliano na utalii Costantine Kanyasu akimsikiliza mmoja wa wakinamama wajasiriamali akitoa maelezo ya biashara yake  katika Maonesho ya Biashara na Utalii  yaliyofungwa April 8 2019 katika viwanja wa Mwahako jijini Tanga
 Naibu waziri wa mawasiliano na utalii Costantine Kanyasu akisaini kitabu cha wageni katika banda la wanawake wajasiriamali katika Maonesho ya Biashara na Utalii katika viwanja wa Mwahako jijini Tanga.
  Naibu waziri wa mawasiliano na utalii Costantine Kanyasu katika picha ya pamoja na watumishi katika banda la Wizara ya Maliasili na Utalii katika viwanja wa Mwahako jijini Tanga.
 Meneja wa TRA mkoa wa Tanga,Specioza Owure akitoa maelezo kwenye banda la mamlaka hiyo kwa naibu waziri wa maliasili na utalii Costantine Kanyasu wakati alipokuwa akitembelea, kabla ya kufunga maonesho hayo katika viwanja wa Mwahako jijini Tanga.
 Afisa uhusiano wa Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingiraTanga UWASA Dora Killo akitoa maelezo  kwa naibu waziri wa maliasili na utalii Costantine Kinyasu  katika kilele cha maonesho hayo katika viwanja wa Mwahako jijini Tanga.a.

 NAibu Waziri wa Maliasili  na Utalii akitembelea banda la mamlaka ya maji na usafi wa mazingira Tanga 
 Mkurugenzi wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira Tanga UWASA akipokea cheti cha ushindi wa kwanza kwenye taasisis za umma zilizoshiriki katika kilelle cha maonesho ya kibiashara ya kimataifa jijini Tanga
Afisa Maeneleo ya jamii jijini Tanga,Moses Kiksibo akipokea cheti kwenye maonyesho hayo katika viwanja wa Mwahako jijini Tanga.
Picha zote na Mbonea Herman

This post appeared first on Mambo Pulse
 Download
 Play

No comments

Powered by Blogger.